Sunday, October 27, 2013

EXCLUSIVE: DARREN FLETCHER KURUDI DIMBANI DHIDI YA NORWICH CITY

Kiungo mahiri na mkakamavu wa Man United Darren Fletcher anatarajiwa kurudi dimbani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu dhid ya Norwich City katika kombe la capital one..

Nyota huyo raia wa Scotland alikaa nje zaidi ya miezi kadhaa tangu siku ya boxing day mwaka jana na anatarajiwa kurudi uwanjani ili kuimarisha safu ya kiungo cha timu hiyo.

Hata hivyo kiungo huyo hataonekana katika michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwani hakujumuishwa kama ni miongoni mwa wachezaji wataokuwepo katika ;ligi hiyo.

Kiungo huyo aarufu kama the sweeper mwnye miaka 29 alikuwa nje tangu timu yake ilipokutana na Newcastle ndani ya boxing day mwaka jana na atarudi wiki ijayo katika mchezo huo dhidi ya Norwich city.

No comments:

Post a Comment