Sunday, October 27, 2013

INIESTA TAYARI KWA KUONGEZA MKATABA

Kiungo mahiri wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania Andres Iniesta yupo tayari kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo kwa kipindi kingine.

Uongozi wa timu hiyo umebainiha kwamba utamuongeea mkataba nyota huyo hasa baada ya kuisaidia timu yake kutoka na ushindi dhidi ya Real Madrid jana.

Iniesta mwenye miaka 29 anatarajiwa kuongeza mkataba baada ya mkataba wake wa sasa kuishia mwisho wa msimu ujao waligi 2015.

"Nina furaha sana kwa ushindi wa leo hasa baada ya kumfurahisha kocha wetu Mortino kwani ni mchezo wake wa kwanza wa El classico na natumaini tutafanya vizuri zaidi chini yake na kwa sasa ninafuraha sana na nitaongeza mkataba siku zijazo"alsema Iniesta.

No comments:

Post a Comment