Wednesday, March 11, 2015

RATIBA YA MICHEZO YA LIGI YA MABINGWA ULAYA HATUA YA MARUDIANO 16 BORA

IN east African Time.


Wednesday 11 March 2015
FC Bayern MünchenvShakhtar DonetskAllianz Arena21:45Preview
ChelseavParis Saint GermainStamford Bridge21:45Preview
Tuesday 17 March 2015
Atlético de MadridvBayer 04 LeverkusenVicente Calderon21:45 
MonacovArsenalStade Louis II21:45 
Wednesday 18 March 2015
Borussia DortmundvJuventusSignal Iduna Park21:45 
BarcelonavManchester CityCamp Nou21:45 

RIOFERDINAND: DI MARIA ATAKUWA BORA MAN UNITED

Beki wa timu aya QPR ya ligi kuu ya England na beki wa zamani wa timu ya man united  Rio Ferdinand anaamini kwamba mchezajin machachari wa timu yake hiyo ya zamani Angel Di Maria atafanya vizuri katika siku zijazo.

 Hayo ameyase,ma jana baada ya kuulozwa kuhusu mustakbali wa timu hiyo vihi sasa  hasa baada ya kutolewa na vibonde vyao Arsenal katika kombe la FA. Amesema kwamba Di Maria ni mchewzaji mzuri na wa kiwango cha dunia kwa sasa kwahiyo hawezi kumuondoa katika mategemeo ya timu hiyo kwa sasa na anaamini kwa atakuwa mchezaji bora katika siku zijazo.