Wednesday, January 9, 2013

SIMBA SC WAENDA OMAN

Timu ya soka ya simba leo alfajir wamekwea pipia na baadhi ya wachezaji wake mahiri ukiondoa wachezaji waliokwenda timu ya taifa na wale waliobakia kwa ajili ya michuano ya mapinduzi.Akizungumza na waandishi wa habari hapo jana jioni msemaji wa timu hiyo Ezekiel kamwaga timu hiyo itaondoka huku wachezaji wake muhimu kama Haruna moshi,mwinyi kazimoto,mrisho ngassa,shomari kapombe,juma kaseja hawataondoka leo kwasababu ya kwamba baadhi wamejiunga na timu ya taifa.na boban akibakia na timu kwea ajili ya michuano ya muungano.

RICARDO QUARESMA AENDA AL AHLI

Kiungo wa kimataifa wa ureno ricardo quaresma amekamilisha dili la kwenda kitika club bingwa ya oman al ahli kwa mkataba wa miezi18. kiungu huyo ameenda al ahli akitokea besiktas ya uturuki.

Tuesday, January 8, 2013

SHUHUDIA GOLI BORA TANGU FOOTBALL KUGUNDULIWA


STURRIDGE AANZA KAZI LIVERPOOL

Mshambuliaji mpya wa liverpool daniel sturridge hatimae aanza kazi ya kutupia baada ya kujiunga na majogoo wa jiji la liverpool katika ushindi wa bao mbili kwa moja katika mchezo wa kombe la FA hatua ya mtoano raund ya 3

DEMBA BA ANZA KUMUONYESHA TORRES

Ibrahim demba ba hatimae aanza kumuonyesha fernando torres jinsi magori yanavyo fungwa baada ya kutupia 2 katika mchezo wake wa kwanza dhid ya southampton.

NIGERIA WAMUACHA ODEMWINGE

Kocha timu ya taifa nigeria steven kesh amemuacha peter ogemwinge katika kikosi chake kitakachoenda kushiriki michuano ya AFCON nchini afrika kusini.