Saturday, April 23, 2016

KITAMBI AIOMBEA MABAYA YANGA KOMBE LA FA

IMG_0055
Kocha msaidizi wa Azam FC Denis Kitambi amesema nguvu zao zote wanazihamishia kwenye ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara pamoja na michuano ya kombe la Azam Sports Federation Cup (FA) kufuatia kushindwa kufanya vizuri kwenye mashindano ya Afrika.

Azam imerejea jana ikitokea Tunisia ilikotolewa kwenye kombe la shirikisho Afrika kwa kipigo cha magoli 3-0 dhidi ya Esperance.
“Sasahivi hakuna nafasi ya kufanya kosa lolote, hatuwezi kupoteza mechi yoyote kwasababu kupoteza mechi au kusuluhu maana yake ubingwa tumeuacha. Kwetu sisi ni kuhakikisha tunashinda michezo yetu na inawezekana Yanga wakapoteza pointi kwenye mechi zao za ugenini”.

“Mchezo wa FA Cup dhidi ya Mwadui ni muhimu sana kwasababu bingwa wa FA Cup ndiyo atapata nafasi ya kushiriki mashindano ya Afrika, kwahiyo kwetu sisi mchezo wetu dhidi ya Mwadui ni muhimu sana kwasababu ndiyo nafasi pekee ambayo bado ipo mkononi mwetu kuweza kushiriki michuano ya kimataifa”.

Jumapili April 24, Azam itacheza mchezo wa nusu fainali ya FC Cup dhidi ya Mwadui FC mchezo utakaofanyika kwenye uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga wakati huo Yanga itakuwa ikicheza dhidi ya Coastal Union jijini Tanga washindi wa mechi hizo watafuzu kucheza hatua ya fainali ya michuano hiyo ambapo bingwa ataiwakilisha nchi kwenye kombe la shirikisho msimu ujao.


Friday, April 22, 2016

YANGA YATUPWA HUKU KWENYE MICHUANO YA SHIRIKISHO AFRIKA CAF..


CAF-cover
Kufuatia kuondoshwa kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika hatua ya 16 bora, klabu ya Yanga imeangukia kwenye michuano ya kombe la Shirikisho Afrika. Kwa mujibu wa kanuni za CAF, vilabu vyote vinavyotupwa nje ya mashindano ya klabu bingwa Afrika vinakutana na washindi wa hatua ya 16 bora ya kombe la shirikisho kukipiga mchezo wa playoff unaoamua timu gani inasonga mbele kwenye hatua ya makundi katika kombe la shirikisho.

Usiku wa Jumatano Yanga ilisukumwa nje ya kombe la mabingwa Afrika na klabu ya Al Ahly ya Misri kwa kufungwa magoli 2-1 ugenini hivyo kuenguliwa kwenye michuano hiyo kwa jumla ya magoli 3-2 baada timu hizo kutoka sare ya kufungana goli 1-1 kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Dar.

April 21 imechezeshwa droo ya kuamua ni timu gani zitakutana kwenye mechi za mchujo zitakazoamua ni timu gani zitafuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika.

Mabingwa watetezi wa VPL Yanga wamepangwa kucheza na klabu ya Sagrada Esparanca ya Angola ambapo Yanga wataanzia nyumbani mchezo wa kwanza (uwanja wa taifa, Tanzania) kati ya May 6-8 huku mchezo wa marudiano ukipangwa kufanyika Angola kati ya May 17-18, 2016.

RATIBA KAMILI.
Yanga-Angola

FUATILIA UTABIRI WA MICHEZO MBALIMBALI PALE UINGEREZA NA PAUL MERSON.

Merson's predictions: Tottenham to narrow gap on leaders Leicester


Sky Sports' Paul Merson is back to look ahead to another crucial round of Premier League fixtures.
Eight points off a maiden top-flight crown, Leicester, without the suspended Jamie Vardy, host Swansea on Super Sunday as they look to stretch the gap between themselves and Tottenham.
Second-placed Spurs will be waiting, ready to pounce if the Foxes slip up when they entertain West Brom on Monday Night Football.

Before all of that, the race for survival takes centre stage as Sunderland look to move out of the relegation zone when they face Arsenal at the Stadium of Light in Sunday's early kick-off.
There is also the little matter of the FA Cup semi-finals, where Crystal Palace, Everton, Manchester United and Watford jostle for a place in the Wembley showpiece.
Read on to see who the Magic Man is backing...

Last week's predictions

Result Merse's prediction
Norwich 0-3 Sunderland 1-1
Everton 1-1 So'ton 2-2
Man Utd 1-0 Aston Villa 3-0
Newcastle 3-0 Swansea 2-1
West Brom 0-1 Watford 2-0
Chelsea 0-3 Man City 2-1
B'mouth 1-2 Liverpool 1-2
Leicester 2-2 West Ham 2-1
Arsenal 1-1 Palace 3-0
Stoke 0-4 Spurs 0-4
Leicester v Swansea - Super Sunday, 4.15pm

This game was a gimme for Leicester last week, now Jamie Vardy is suspended it's not. I don't think Vardy is a great player but without him how are Leicester going to open up the game? He stretches defences and creates space for midfielders on the ball and I can't see who will be able to replace that pace.
I just don't see Leicester winning without Vardy, he is a massive, massive miss. Swansea will just play around halfway, suffocate the Foxes and come away with a point which will blow the title race wide open.

Leicester vs Swansea

April 24, 2016, 4:00pm
Live on
PAUL PREDICTS: 1-1 (Sky Bet odds 5/1)
Tottenham v West Brom - Monday Night Football, 8pm

Fair play to West Brom, they got their 40 points on the board early doors ahead of an atrocious final run of fixtures. It starts with Spurs, who were outstanding at Stoke. It doesn't even pain me to see Spurs where they are at the moment, they are a very good team. Hopefully their success kicks Arsenal into gear. If this Tottenham team stays together and they get a couple more players they'll be favourites for the title next season.

Tottenham vs W Brom

April 25, 2016, 7:00pm
Live on
PAUL PREDICTS: 3-0 (Sky Bet odds 11/2)
Sunderland v Arsenal - Super Sunday, 2.05pm

I watched Arsenal on Sunday and it was one of the flattest performances I've seen, they just went through the motions. It was so quiet at the Emirates that I heard Petr Cech shout 'keeper' when clearing a ball. How is that possible in front of 60,000 people? Arsenal beat West Brom on Thursday, but they should have beaten Palace too. Sunderland, meanwhile, have picked up under Big Sam, winning at Norwich last week. I fancy them to edge closer to safety with a point, but they do need to score first.

S'land vs Arsenal

April 24, 2016, 1:00pm
Live on
PAUL PREDICTS: 1-1 (Sky Bet odds 11/2)
Man City v Stoke - Saturday, 12.45pm

The problem with Man City is that you don't know which team is going to turn up. Will it be the one that won 3-0 at Chelsea or will it be the team that came off the pitch lucky to have earned a 1-1 draw with Newcastle? Stoke are on holiday and you cannot play football with flip-flops on! They've done their hard work, though, they're safe and you can understand that, particularly when a few players will be at the Euros. I suspect Sergio Aguero will be rested as City will have one eye on the Champions League semi-final with Real Madrid, but I still expect them to win.
PAUL PREDICTS: 2-0 (Sky Bet odds 5/1)
Aston Villa v Southampton - Saturday, 3pm

What score do you want? I can't see anything other than a Southampton win. I felt sorry for Joleon Lescott in the week because his comments about relegation being a relief were not meant like that. He meant the club could concentrate on bouncing back next season, so a lot of the criticism he received was unwarranted. Villa should give the kids a chance and see what they're like ahead of next season - see who can be kept and who can't.
PAUL PREDICTS: 0-2 (Sky Bet odds 5/1)
Bournemouth v Chelsea - Saturday, 3pm

This is a hard game. Chelsea could have conceded six against Man City on Saturday, their season is over, they've got players going to the Euros and they can't win a game. I'm not sure which way the game will go but I expect a game full of goals, with Bournemouth needing to bounce back from their defeat to Liverpool.
PAUL PREDICTS: 2-2 (Sky Bet odds 12/1)
Liverpool v Newcastle - Saturday, 3pm

I was impressed with Newcastle against Man City, they were good. Liverpool keep on getting better and better under Jurgen Klopp and they put Everton to the sword in the derby. I fancy Liverpool here but, with a Europa League semi-final with Villarreal coming up, they may rest players - that said they still turn in decent performances when they do change their team. This is where luck in the relegation fight comes in because if Liverpool were challenging for the top four they would play a full-strength side, and that may help Newcastle's cause. I expect Liverpool to just earn the win but I wouldn't be surprised if it's a draw.
PAUL PREDICTS: 2-1 (Sky Bet odds 7/1)

Midweek predictions

Result Merse's prediction
Newcastle 1-1 Man City 0-2
Liverpool 4-0 Everton 3-0
Arsenal ?-? West Brom 3-0
FA Cup semi-finals
Everton v Man Utd - Saturday, 5.15pm

I don't see how Roberto Martinez can last if he loses at Wembley. He has got things horribly wrong this week. He should have played his strongest team and won against Southampton and then told fans he had to rest everyone against Liverpool in preparation for the semi-final. Instead he rested everyone against Southampton and got booed off and then played his best team against Liverpool and got battered. For the first time he looked lost on the sidelines, the fans have turned and I don't see how he can hold on if they lose. I felt sorry for him but it's a situation of his own making, this is a good team that is nowhere.

United will win at Wembley, I can't see Everton stopping them. Marcus Rashford is some player and his goal against Villa was as good as it gets - he'll be a top-drawer player. Three months ago you would have backed Everton to win this game all day long, not now.
PAUL PREDICTS: 1-2 (Sky Bet odds 15/2)
Crystal Palace v Watford - Sunday, 4pm

I fancy Palace here, they've just got the edge over Watford. Deeney, who missed a penalty at West Ham, and Ighalo have gone quiet recently and confidence at the club can't be great. When the game starts to open up Palace have got more match winners for and I expect them to just edge a tight contest.
PAUL PREDICTS: 1-0 (Sky Bet odds 6/1)

MCHEZAJI WA ZAMANI WA SIMBA ATOA YA MOYONI.......

Mlinzi wa zamani wa timu ya Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars,) Lubigisa Madata Lubigisa amesema kinachoendelea katika klabu yake hiyo ya zamani ni ‘matokeo ya ubinafsi na kutowajibika ipasavyo’ kwa uongozi wa juu ambao kwa mawazo yake (Lubigisa) wameshindwa kuwa karibu na wachezaji na kutowatimizia mahitaji yao muhimu.

Madata ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichofuzu kwa hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika mwaka 2003 amesema hayo wakati nilipomuomba mtazamo wake kuhusu mwenendo wa timu hiyo inayosotea taji la ligi kuu kwa msimu wa nne mfululizo hivi sasa.

“Kinacho endelea Simba sasahivi ni maslahi binafsi ya viongozi. Viongozi wanajali sana maslahi yao binafsi na kusahau kama jukumu lao la kuifanya Simba ishinde, kiongozi aliye makini tena wa club kubwa kama Simba anaye hitaji matokeo mazuri ili aongoze ligi hawezi kukubali kufungwa na Toto.”

“Ninachokiona kwa uongozi ni hawataki kutumia pesa ili washinde mechi kama ile, kiongozi lazima uwe karibu na wachezaji wako tumia pesa kwa wachezaji wako waahidi pesa ili wacheze kwa moyo na kujituma zaidi.”