Wednesday, December 5, 2012

NUSU FAINALI CECAFA CHALENJI CUP KUENDELEA KESHO

Nusu fainali ya michuano ya cecafa chalenji cup kuendelea kesho alhamis katika uwanja wa namboole mjini kampala uganda.kwa mujibu wa ratiba mchezo wa kwanza utawakutanisha zanzibar wakionehsana  umwamba dhidi ya kenya na baadae usiku wenyeji dhidi ya tanzania bara.

No comments:

Post a Comment