Thursday, July 18, 2013

DEMBA CISE AENDELEA KUCHOMOA KUITAMBULISHA KAMPUNI YA MIKOPO KATIKA CLUB KAMA WADHAMINI

Mshambuliaji msenegal amendelea kusisitiza kutovaa jezi ambayo ina nembo ya kampuni ya mikopo ya riba kifuani kwake pindi msimu mpya wa ligi utakapoanza.demba cise ni mfuasi wa dini ya kiislam amesema hyo baada kutambulika kuwa club yake ya newcaslte imeingia mkataba na kampuni hiyo kwani kwa dini ya kiislam ni haramu kutangaza,kuishadilia,na kuifanya riba.

No comments:

Post a Comment