Wednesday, July 24, 2013

SUNDAY MBA TAYARI KUCHEZA ULAYA

 Kiungo wa timu ya taifa ya nigeria sunday mba amesema kwamba muda tayari kwa yeye kwenda kuishi barani uaya. hayo alisema kupitia kwenye vyombo tofauti vya habari kwa mba yu tayari kwenda kucheza uaya endapo timu yeyote ikimuhitaji kwa sasa licha ya kwamba timu yake ya sasa inataka kumpeleka kwa mkopo inugu rangers.

No comments:

Post a Comment