Saturday, August 31, 2013

FRANCIS CHEKA WA TANZANIA AMDUNDA PHIL WILLIAM KUTOKA MAREKANI

Francis cheka jana alidhihirisha maneno yake baada ya kumpiga bondia kutoka marekani ambaye ni bingwa wa dunia kwa uzito wa wbu na kuchukua ubingwa huo kutoka kwa bondia huyo katika ukumbi wa dimond jublee jijini dar es salaa.

No comments:

Post a Comment