Sunday, October 20, 2013

BREAKING NEWS: JULIAS NYAISANGA AFARIKI DUNIA

Mtangazaji maarufu na mkongwe hapa nchini na meneja mkuu wa kampuni ya Aboud Media  Juliasi Nyaisanga  amefariki dunia leo majira ya saa moja asubuhi katika hospitali ya mazumbu huko mkoani morogoro.


Julias nyaisanga katikati enzi za uhai wake
 
Mtangazaji huyo aliwahi kutangaza katika redio station tofauti hapa nchini zikiwemo Redio One na Radio Tanzania Dar es salaam (RTD) katika kipindi cha uhai wake.




Taarifa kutoka kwa ndugu wa karibu wa marehemu zinasema kwamba marehemu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la shinikizo la damu na kisukari hadi mauti yalipomfikia.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahalipema peponi amin.


No comments:

Post a Comment