Monday, December 10, 2012

CECAFA WAWACHINJIA BAHARINI WABONGO

shirikisho la soka kwa nchi za afrika mashariki na kati limewachinjia mbali wabongo mrisho ngassa na john bocco baada kunyimwa kiatu cha dhahabu katika mashindano yalioisha jumapipli ya chalenji na kugewa robert ssentongo ilihali wote wana mabao matano kila mmoja

No comments:

Post a Comment