Wednesday, January 9, 2013

RICARDO QUARESMA AENDA AL AHLI

Kiungo wa kimataifa wa ureno ricardo quaresma amekamilisha dili la kwenda kitika club bingwa ya oman al ahli kwa mkataba wa miezi18. kiungu huyo ameenda al ahli akitokea besiktas ya uturuki.

No comments:

Post a Comment