Thursday, February 21, 2013

SIMBA YAIADABISHA WAJELAJELA(PRISONS)

mabingwa wa soka nchini simba sc wamepata ushindi baada ya kuichabanga timu ya wajelajela bao moja kwa bila lililofungwa na mchezji mwenye kiwango cha juu mtaalm amri kiemba katika dakika ya 76 simba walionesha kandanda safi nala ku sisimua kwa kutumia wachezaji wake mahiri akiwemo mwintyi kazimoto (ball dancer) licha ya kuwa ugenini na kuwa na presha kubwa kutoka kwa washabibiki wa prisons kuizomea simba kila mara.

No comments:

Post a Comment