Thursday, February 21, 2013

SIMBA KUMLIPA MILOVAN LEO

Timu ya soka ya simba leo inamlipa mshahara wake wote uliobaki kwa kocha aliefungashiwa virago mserbia milovan cirkovic baada ya muda mrefu. kwa mujibu wa mfadhili mpya wa timu hiyo malkia kuoka uarabuni alisea anatia aibu kwaclub kubwa kama simba ina muajili kocha kutoka nje na ina shindwa mpatia mshahara wake wote kwa muda muafaka.

No comments:

Post a Comment