Tuesday, July 23, 2013

MARTINO ACHUKUA MIKOBA YA VILANOVA BARCELONA

mabingwa wa la liga msimu uliopita hatimaye baada ya siku chache tito vilanova utangaza kujiuzulu kufundisha timu hiyo kutikana na matatizo ya kiafya jana usiku walipa saini ya kocha kutika america ya kusini martino.kocha huyo aliyepigiwa upatu na nyota ionel messi ili kuja kufundisha timu hiyo kutoka mitaa ya catalunya jijini barcelona.

No comments:

Post a Comment