Saturday, July 20, 2013

OKWI NA OCHANG WAOMBA KURUDI SIMBA

Wachezaji wazamani  wa simba emmanuel okwi na patrick ochang hatimaye wameomba kurudi clabuni hapo baada ya kuchoshwa na maisha ya walikoenda.akizungumza na kwa simu na mmoja wa viongozi wa simba ochang amesemakwamba hajisikii vizuri katika maishayake jijini lubumbashi na kutaka kurudi bongo vileile okwi naye alisema hayo kupitia kwsakiongozimmoja wa clubu ya simba.

No comments:

Post a Comment