Wednesday, July 24, 2013

SUNDERLAND WAMKOSA PERUZZI

Katika kujiweka sawa na maanalizi ya msimu wa igi kuu ya england utaaoanza mwezi wa nane kocha wa sundaerland paolo di canio amemosa fullbaki peruzzi raia wa argentina baada ya mchezaji huyo kushindwa katika medical checkup.kwa taarifa zaidi zinasema kwamba beki huyo alipata majeraha wakati aiwa na timu yake ya sasa mwishoni mwea msimu uliopita wa igi.

No comments:

Post a Comment