Thursday, July 25, 2013

TAIFA STARS YAFIKA SALAMA UGANDA

Timu ya taifa ya tamzania kwa wachezaji wanaocheza ligi ya ndani wamefika salama jijini kampala tayari kwa mechi kati yao na wenyeji the cranes ya uganda.taifa stars lazima ishinde ili kujihakikishia nafasi ya kucheza michuano ya mataifa ya afrika kwa wachezaji wanaocheza wanaocheza ligi ya ndani.

No comments:

Post a Comment