Friday, July 26, 2013

ZAHA AIOKOA MAN UNITED KATIKA KIPIGO , ASAWAZISHA DAKIKA ZA MAJERUHI

Winga aliye sajiliwa msimu huu akitokea crystal palace leo majira ya mchana aliiokoa timu yake ya sasa ya man united kwa kipigo kingine dhidi ya cerezo osaka ya japan katika ziara ya timu hiyo inayoendelea nchini humo.,kwani hadi dakikaya 89 osaka walikuwa wanaongiza 2-1 huku goli la kwanza la man united likiwekwa kimiani na shinji kagawa kabla ya kukosa pealt.

No comments:

Post a Comment