Friday, July 26, 2013

PEPE REINA AENDA KWA MKOPO NAPOLI

Kipa namba moja wa liverpool hatimaye ameenda kwa mkopo ndani ya klabu ya napoli ambapo amemfuata kocha wake wa zamani rafael benitez. hii imekuja baada ya liverpool kumsajili kipa kutoka sunderland.

No comments:

Post a Comment