Thursday, August 22, 2013

JOHAN ELMANDA ATUA NORWICH KWA MKOPO

Norwch city ya england imemchukua mshambuliaji kutoka garatasaray ya uturuki na timu ya taifa ya sweeden johan elmanda kw amkopo.

Mshambuliaji huyo aliyechezea bolton  ya hapo uingereza miaka miwili iliyopita amejiunga na timu hiyo ili kuongeza ukali katika safu ya ushambuliaji.

No comments:

Post a Comment