Saturday, August 24, 2013

KATIKA KUJIANDAA NA KUMTAMBULISHA MCHEZAJI MPYA REAL MADRID WAATENGENEZA JUKWAA LA KUTAMBULISHA MCHEZAJI HUYO

Jukwaa la kutambulisha mchezaji mpya ndani ya santiago bernabeu. je ni nani huyo? tushuhudie kwani tayari madrid wameshaanza kuuza jezi ya bale yenye namba 11 mgongon., je ni yeye au.

No comments:

Post a Comment