Thursday, August 22, 2013

MESSI NJE WIKI MBILI BAADA YA KUUMIA DHIDIN YA ATHLETICO MADRID

Mshambuliaji hatari wa barcelona lione messi jana alipata majeraha baada ya kuumia dhidi ya athletico madrid. hii ilikuja baada ya kugongana na beki wakati wa kugombania mpira na baadae messi alikaachini na kuomba atoke baada ya majeraha makali aliyo yapata.
Inasadikiwa messi atakaa nje zaidi ya wiki mbili.

No comments:

Post a Comment