Tuesday, August 27, 2013

MOURINHO: NAMWACHIA ROONEY ACHAGUE KUBAKI AU LAA- SITUMI OFA NYINGINE

Kocha wa chelsea jose mourinho ameonesha moyo wa kukata tamaa na usajili wa nyota wa manchester united wyne rooney.

Hayo yameibuka baada ya kukataliwa ofa yao ya tatu ya pauni million 40 ambayo angeamini kwamba wangelimng'oa nyota huyo.

No comments:

Post a Comment