Tuesday, August 27, 2013

SERGIO BUSQUET AONGEZA MKATABA MPYA KUICHEZEA BARCELONA

Kiungo mahiri wa timu yataifa ya hispania na clubu ya barcelona sergio busquet leo mchana amesaini mkataba mpya utakaomfanya akae clubuni hapo mpaka mwaka 2018.

Busquet amesaini mkataba huo baada ya mkataba wake mpya kuwa karibuni kuisha na atalipwa zaidi ya pauni laki 1600000  kwa wiki ndani ya barcelona.

No comments:

Post a Comment