Friday, August 23, 2013

SIMBA VITANIKESHO KWENYE MECHI YA UFUNGUZI DHIDI YA RHINO YA TABORA

Katika kuanza na kinyang'anyilo cha kugombania kombe laligi kuu bara ambayo itaanza kwa kukipiga na rhino fc ya tabora ndai ya uwanja wa alasani mwinyi ambao punde umefanyiwa uakarabati.

kwa mujibu wa msemaji wa simba,amesema timu ipo shinyanga kwa sasa na ipo tayari kwa mchezo huwo baada ya juzi jumaatano kushinda bao moja bila katika mechi ya kirafiki mkoani singida

Kila la kheri simba katika mchezo huo..

No comments:

Post a Comment