Friday, January 3, 2014

HATIMAYE KIUNGO TOM HUDDLESTONE ANYOA NYWELE ZAKE

Kiungo wa Hull City Tom Huddlestone ametimiza ahadi yake ya kunyoa nywele zake iwapo angefunga bao baada kukaa miaka miwili na nusu bila kufunga,kiungo huyo aliifungia timu yake bao moja kwenye mchezo ambao timu yake iliifunga Fulham mabao 6-0.






No comments:

Post a Comment