Thursday, January 9, 2014

MESSI ARUDI APIGA MBILI NDANI YA DAKIKA MBILI

Mshambuliaji Lionel Messi kushoto usiku huu ametokea benchi na kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-0 wa Barcelona dhidi ya Getafe Uwanja wa Camp Nou katika mechi ya Kombe la Mfalme. Messi aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu, alifunga katika dakika za 89 na 90 baada ya Cesc Fabregas kutangulia kufunga katika dakika za nane na 62 kwa penalti.  

No comments:

Post a Comment