Saturday, July 20, 2013

BLACN AONESHA MATUMAINI KWA COMBINATION YA CAVANNI NA IBRAHIMOVIC

Kocha mkuu wa psg laurant blanc amesema kwamba uweo wa washambuliaji wawili hatari edinson cavann i na zlatan ibrahimovic kutatengeneza cimbination hatari kwa mabeki wa kila timu na kueleza kuwa wanauezo mkubwa wa kufanya izuri katika ligi mbalimbali ikiwemo ligi ya mabingwa barani ulaya, na pia amesisitiza uwepo wa kiongo kinda kutoka italy marco verrati kwamba hatouzwa na anamipango naye katika siku za karibuni.

No comments:

Post a Comment