Saturday, July 20, 2013

MAN CITY WAKAMILISHA USAJILI WA JOVETIC

manchester city wamekamilisha dili la kumsajili mshambuliaji wa fiorentina stefan jovettic kwa ada ya euro million 22.meneja mpya wa timu hiyo manuel perreglin amesema kwamba amefirahi kwa usajili huo kwani jovetic alikuwa ana mipango naye tangu alivyokuwa meneja wa napoli ya hapohapo italia.

No comments:

Post a Comment