Friday, July 26, 2013

GALLIANI: HONDA ATAKUWA ZAWADI KWETU

Mmiliki wa ac milan andrei galliani amesema kwamba usajili utakaofanywa na timu yake kumsainisha keusuke honda kutoka japani kwamba itakuwa ni zawadi kwao . Ac milani tangu kufunguliwa dirisha la usajili wamekuwa na target ya kumnyakuwa kiungo huyo anaekipiga katika club ya cska moscow ya urusi

No comments:

Post a Comment