Friday, July 26, 2013

HUMUD AINGIA KINYEMELA MAZOEZI SIMBA

Kiungo wa timu ya soka ya azam abdulharim humud amejipenyeza kinyemela katika mazoezi ya simba yanayo endelea huko mbaba beach jana jioni.mchezaji huyo yuko kwenye sakata la kutaka kwenda sauz kukipiga katika timu ya cosmos huku timu yake azam ikimletea kauzibe

No comments:

Post a Comment