Tuesday, July 23, 2013

MANCHESTER YAPIGWA 3-2 NA YOKOHAMA F;MORINOS

Manchester unired tayari imeshapoteza michezo miwili kati ziara zake huko Asia.leo katika majira ya mchana ilcheza na yokohama f,marinos na kuchezea kichapo cha goli 3-2 ndani ya uwanja wa nissani. ilichukua dakika ya wanza tu wenyeji kuanza upata goi na baadae kinda anaetupia ila mechi jesse lingard alisawazisha na baadae waliongeza mawili kipindi cha pili kisha manutd walipata goli la pili kupitia kwa manriso.kwa hiyo hadi sasa moyes kashinda 1 katika mechi tatu na kufungwa 2.

No comments:

Post a Comment