Tuesday, July 23, 2013

NAPOLI YAKUBALI ADA YA EURO 37 MILLION KUMTWAA HIGUAIN



Club ya napoli ya italia imeubaiana na real madrid kutoa itita cha pesa euro million 37 ili kumnyakuwa mshambuliaji gonzalo higuain. hayo yamthibitishwa na meneja wa napoli kwamba wamekubaliana na real madrid kutoa kiasi hicho cha fedha.

No comments:

Post a Comment