Tuesday, July 23, 2013

MARTINEZ AZITOLEA NJE DORTMUND,NAPOLI

kiungo mshambuliaji wa fc porto mcolombia martinez ameelezea hali yake ya baadae clubuni hapo japo kuwa club kama borussia dortmund na napoli zikimwinda kupata saini ya mchezaji huyo. martinez amesema kwamba anafurahi sana na maisha clubuni hapo na haitaji kuondoka kwa sasa kuelekea  timu yeyote.

No comments:

Post a Comment