Monday, July 22, 2013

MOYES KUTUPA KARATA YAKE NYINGINE KESHO DHIDI YA YOKOHAMA MARINOS

ka mara nyingine tena david moyes atatupa karata yake ya tatu akiwa na manchester united baada ya juzi kushinda ushindi wake wa kwanza kwa mabao matano huku akiweka historia ya kupoteza mchezo wake wa kwanza akiwa na man united dhidi ya singha all star.
shinji kagawa akiwa na patrice evra na danny welberck baada ya kuwapokea kwao japan.





No comments:

Post a Comment