Monday, July 22, 2013

NAPOLI WAKARIBIA KUMNASA RAUL ALBIOL KUTOKA REAL MADRID

Beki mahiri wa real madrid amebakiza siku chache kutua ndani ya club ya napoli ya itali baada timu yake kukubaliana na ada ya uhamisho na napoli hii imekuja baada ya beki chipukizi rafael varane kutishia namba ake ndani madrid.

No comments:

Post a Comment