Monday, July 22, 2013

RODGERS ANAAMINI SUAREZ ATABAKI LIVERPOOL

kocha wa liverpool branden rodgers anaamini kwamba strier wake matata myuruguay luis suarez atabaki katika kikosi hicho msimu ujaon.hao yamekuja baada ya mchezaji huyo kuindwa na club mbalimbali kama arsenal ambao ndio wanaongoza kwa dau la kumchukua mchezaji huyo.

No comments:

Post a Comment