Monday, July 22, 2013

REAL MADRID YAINYUKA AFC BOURNMOUTH 6-0

Katia kujianda na msimu mpya wa ligi real madri jana iliiadhibu afc bournmouth kwa idadi ya bao sita huku nyota wa timu hiyo cristiano ronaldo akitupia mara mbili moja likiwemo la free kick, mabao mengine yamefungwa ba dimaria,higuain,na khedira.

No comments:

Post a Comment