Monday, July 22, 2013

SCHWARZER AJIPA MOYO KUWA KIPA NAMBA 1 CHELSEA

Kipa mkongwe aliyesajiliwa na chelsea michel schwezer amesema ana imani ya kuwa golikipa namba moja katika siku za baadae msimu ujao licha ya kwamba atakuwa na upinzani mkubwa kutoa kwa golikipa mahiri na namba moja wa sasa peter cech.

No comments:

Post a Comment