Wednesday, August 28, 2013

BAA YA SAMAKI SAMAKI MBEZI BEACH YATEKETEA KWA MOTO

Baa maarufu jijini dar es salaam iliyoko mbezi beach makonde leo asubuhi imeteketea kwa moto kutokana na cheche za moto ambazo zimesababishwa na tinga tinga linalo panua barabara ya bagamoyo ambayo inaendelea kwa matengenezo katika kubomoa sehemu ya miliki ya barabara hiyo iliyo karibuni kuisha.

No comments:

Post a Comment