Wednesday, August 28, 2013

KIPA WA ZAMANI WA BRAZIL AFARIKI DUNIA

Kipa wa zamani wa santos, corithians na timu ya taifa ya brazil Gylmar dos santos amefariki dunia jana huko sao paolo brazil kwa uginjwa wa kiharusi ambao ulikuwa unamsumbuw kwa muda mrefu sasa.Mchezaji huyo wa zamani wa timu ya taifa ya brazili aliye wahi kuichezea katika mashindano ya kombe ;la dunia katika miaka ya 1958,1962.

Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi ameen.

No comments:

Post a Comment