Wednesday, August 28, 2013

MWANA MAMA MTANZANIA AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA DUBAI

http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/08/dubai-300x200.jpg 
Mwana mama aliyetambulka kwamba ni mtanz ania amekamatwa katika uwanja wa ndege wa dubai akija tanzania na madawa ya kulevya aina ya cocaine.Mwanamke huyo alipo hojiwa na polisi nchini hapo alisema hakujua kama amebeba vitu hivyo kwani yeye almeagizwa na mume wa rafiki yake anayeishi brazil.Hadi sasa wanamke huyo ameshikiliwa na mapolisi kwa uchunguzi zaidi.

No comments:

Post a Comment