Thursday, October 24, 2013

SIMBA YAPATA MILLIONI 12 KATI YA MILLIONI 51.6 KATIKA MECHI YAO DHIDI YA COASTAL UNION MKWAKWANI JANA

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Simba SC na wenyeji Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani, Tanga imeingiza jumla ya Sh. Milioni 51.6 (51.586,000) na kila klabu imepata Sh. Milioni 12 katika mchezo huo uliomalizika kwa sare 0-0, habari hizi ni kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka Chama cha Soka Tanga (TRFA). Pichani ni Juma Nyosso wa Coastal kulia akipambana na Amisi Tambwe wa Simba SC katika mchezo huo jana.

No comments:

Post a Comment